Kwa maoni yang na kauli nying zilizo katika vinywa vya weng. Dr Shein ni rais mteuliwa na sio mchaguliwa kwa wazanzibar, kateuliwa na mwenyekiti wa tume ya uchaguzi ndugu jecha na ndo maana anaitwa rais mteule wa zanzibar. Zanzibar ina watu zaid ya watu 1m lakin waliomchagua ni watu chini ya laki tatu na anatapa kwa kushinda kwa kishindo, ama kweli CCM ni mabingwa wa kutunga isidingo na kuzicheza. Kwa akili ya kawaid tu utajua ni yupi rais wa zanzibar, chukua hata laki tatu tao na milion moja ndo utapata kula harali za rais wa kuchaguliw wa visiwa vya zanzibar aliyepingwa na jecha.
Latest News
-
SAINT AUGUSTINE UNIVERSITY OF TANZANIA FACUTLY OF EDUCATION CASE STUDY: NYAMAGANA DISTRICT RESEARCH PROPOSAL An assessment of...
-
Hao ndio madereva wetu ukiuliza wanakimbilia nini? hawatakujibu. Lakini hebu tujiulize wote baada ya hali hiyo kutokea je abiria wa mabasi...
-
Kwa maoni yang na kauli nying zilizo katika vinywa vya weng. Dr Shein ni rais mteuliwa na sio mchaguliwa kwa wazanzibar, kateuliwa na mwenye...
-
Ni Mbwana Ali Samata maarufu kama sammagoli au popa, mshambuliaji wa kimataifa wa timu ya taifa ya tanzania ambaye pia ni nahodha wa timu ...
-
Mabingwa wa ligi kuu ya tanzania young african maruufu kama watoto wa jangwani kesho watoondoka majira ya alfajili kuelekea Mauritius kwenda...
-
"Kuna jengo la gorofa tatu linajengwa pale muhimbili lina miaka 20 lakini bado halijaisha tumevunja rekodi" hayo yamesemwa na rais...
-
Karibu Wote wapenda mabadiliko hapa ndo mahara pake